Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Thursday, March 25, 2010

Twiga yachangia tani 100 za saruji waathirika wa Kilosa


Mkurugenzi wa Biashara wa Kiwanda cha Saruji cha Twiga, Steinar Harstad (kushoto) na Ofisa wa Kiwanda hicho aneshugulika na Huduma za Jamii Natasha D'Souza wakimkabidhi Mbunge wa Kilosa na Waziri wa Fedha na Uchumi Mustafa Mkulo tani 100 ya saruji kwaajili ya ujenzi wa nyumba za waathirika wa mafuriko Kilosa. Makabidhiano hayo yalifanyika jana Dar es Salaam.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP