Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Tuesday, March 30, 2010

Wanafunzi wa dunia wautembelea ubalozi wa Tanzania


wanafunzi kutoka mataifa mbalimbali ambao waliichagua Tanzania kama nchi wanayoiwakilisha katika Baraza hilo. Na ili waifanye kazi hiyo vema, wanafunzi hao waliutembelea Ubalozi wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa ili kujifunza na kupata uelewa zaidi kuhusu historia ya Tanzania, matatizo, mafanikio , changamoto, na namna gani Tanzania inavyoutumia Umoja Mataifa kusukuma ajenda zake mbalimbali. Aliyevaa suti nyekundu ni Afisa Ubalozi Bi Joyce Kafanabo ambaye alitoa maelezo na kujibu maswali mbalimbali ya wanafunzi hao, kwa niaba ya Balozi.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP