Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Monday, March 29, 2010

Serikali yaonya juu ya biashara ya madini feki nchini


Kamishna wa Madini Dalaly Kafumu akitoa tamko la tahadhari leo jijini Dar kwa waandishi wa habari juu ya kuibuka kwa utapeli wa biashara madini ambao umeanza kushamiri hapa nchini na hivyo kuanza kutishia uwekezaji katika Sekta hiyo. Alisema kuwa baadhi ya matapeli wanashirikiana raia wa nchi za kigeni kuwauzia watu madini bandia. Picha na Tiganya Vincent-MAELEZO

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP