Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Thursday, March 18, 2010

RC Morogoro na uhamasishaji Kilimo Kwanza


Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Issa Machibya (mwenye suti) akisaidia kung’olea majani kwenye shamba la Mpunga la familia ya George Kulengama lililopo kwenye Kijiji cha Lipangalala wilayani Kilombero Mkoani humo, pia amependekeza kilimo cha majaruba ili kuwa na uhakika wa mavuno.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP