Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Tuesday, March 23, 2010

Kazi ya Uandikishaji Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Dar es Salaam Waanza


Mwandikishaji wa daftari la wapigakura katika Kituo cha Hananasif, Kinondoni, Flora Luhamo (kushoto) akiwaandikisha wakazi wa eneo hilo waliofika kituoni hapo.Kazi ya uandikishaji Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, Dar es Salaam litamudu kwa wiki moja. Picha na Fadhili Akida

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP