Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Tuesday, March 23, 2010

Mo ndani ya Busega

Mohamed Dewji (MO) na Dk.Chegeni wakipungia mikono wananchi na wageni waliohudhuria tukio hilo la kusimikwa kwa Mbunge wao


Mh.Mohammed Dewji Mbunge wa jimbo la Singida mjini akimsimika Mh.Dk Raphael Chegeni Mbunge wa Jimbo la Busega kuwa kamanda wa Vijana CCM, wilayani Magu,kijiji cha busega,Baada ya zoezi la kumsimika Dk.Raphael Chegeni, Mh.Mohammed Dewji pamoja na mwenyeji wake walianza Safari na kuelekea katika Kijiji cha Lamadi kwa ajili ya harambee ya kuchangia ujenzi wa AMANI SACCOS katika kijiji hicho ambapo Mh.Mohammed Dewji Mbunge wa Singida Mjini alichangia ujenzi wa SACCOS hiyo kwa kutoa Fedha Taslimu za Kitanzania shilingi milioni 4, harambee hiyo ilikusanya jumla ya shilingi milioni 18 ikiwa ni fedha taslimu na ahadi

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP