Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Monday, March 29, 2010

JK apokea misaada toka China

Rais Jakaya Kikwete akiwa katika mahojiano na mwakilishi wa shirika la habari la Xinhua nchini Tanzania Bi. Guo Chunju mara baada ya nchi ya China kukabidhi vifaa mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 51 kwa ajili ya shughuli za maendeleo nchini leo jijini Dar es salaam.

Rais Jakaya Kikwete akikagua pikipiki ikiwa ni sehemu ya msaada wa vitu mbalimbali vilivyotolewa na nchi ya China kupitia kwa Balozi wa nchi hiyo Liu Xinsheng (mwenye suti kushoto) kusaidia shughuli mbalimbali za maendeleo nchini. Makabidhiano hayo ya vitu mbalimbali vikiweo vifaa vya usafiri, vifaa vya nyumbani na vya michezo vyenye thamani ya shilingi milioni 51 yamefanyika leo Ikulu jijini Dar es salaam.


Rais Jakaya Kikwete akiagalia msaada wa baiskeli zilizotolewa na nchi ya China ikiwa ni sehemu ya msaada wa vitu mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 51 vilivyotolewa na nchi hiyo leo Ikulu jijini Dar es salaam.Kulia kwake ni Balozi wa China Liu Xinsheng aliyekabidhi msaada huo.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP