Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Thursday, March 25, 2010

Maadhimisho siku ya kifua kikuu Ruvuma


Baadhi ya wananchi wa Kata ya Ruvuma Manispaa ya Songea wakiwa katika Msururu kupima afya zao hasa VVU/UKIMWI na Makohozi katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya Kifua Kikuu Duniani kilichoadhimishwakimkoa Mtaa wa Ruvuma Chini ,Songea Mjini Jumatano wiki hii.Picha na Juma Nyumayo

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP