Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Tuesday, March 23, 2010

MANENO YA WAHENGA


Hapa nimevutiwa na maandishi kwani kweli wahenga walisema maskini haokoti na akiokota huambiwa kaiba. Hivyo ndivyo lilivyosomeka gari la mafuta huko kijijini Mwendapole Mkoa wa Pwani leo nami nikaona niwaleteeni wdau ujumbe huu. Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP