Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Thursday, March 18, 2010

Operesheni Sangara Dodoma

Mwenyekiti wa Chamacha Demokrasiana Maendeleo (CHADEMA), FreemanMbowe,akishirikiana na baadhi ya wabunge wa chama hicho,kuandikisha kadi kwawanachma wapya waliojiunga na chama hicho,mara baada ya mkutano wa uzinduzi wa Oporesheni Sangara mkoani Dodoma,uliofanyika kwenye Uwanja wa Barafu jana.


Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, akisalimiana na baadhi ya wananchi wa mji wa Dodoma, mara baada ya kuhutubia mkutanowa uzinduzi wa Oporesheni Sanga mkoani Dodoma,uliofanyika kwenye Uwanja wa Barafu jana.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP