Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Thursday, March 25, 2010

Zantel yazindua promosheni ya chomoka na piki piki jijjini Mwanza


Shoto ni Meneja mauzo wa Zantel Bw. Reyemamu akifafanua jambo kwa Meneja mauzo mkoa wa Mwanza Bw. Keneddy Ndonodo akiwa na Msaidizi mstaafu wa mkuu wa mkoa wa Mwanza Bw. Serenge Mlengo wakati wa uzinduzi wa promosheni ya Chomoka na Piki piki iliofanyika jijini Mwanza jana

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP