Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, March 17, 2010

Waziri Mkuu wa Finland ziarani Tanzania

Pinda na Waziri Mkuu wa Finland, Matti Vanhanen wakitazama ngoma baada ya mgeni huyo kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere kuendelea na ziara yake nchini iliyoanzia Arusha, Jumapili iliyopita.


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Waziri Mkuu wa Finland, Matti Vanhanen ambaye aliwasili kwenye uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jana kuendelea na ziara yake nchini iliyoanzia Arusha Jumapili iliyopita (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP