Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, March 17, 2010

MWAKILISHI MKAZI WA UNICEF AMALIZA MUDA WAKE WA KAZI NCHINI


Bw. Heimo Laakknonen akifurahia zawadi ya Kinyago alichopewa kama zawadi na Mh. Waziri mara baada ya kuifungua
Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la UNICEF Bw. Heimo Laakkonen akifurahia zawadi aliyopewa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mhe. Margaret Sitta. Bw. Heimo amefika ofisini kwa Mhe. Waziri jana kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi hapa nchini

Bw. Heimo akimvisha Mhe. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Mh. Margareth Sitta Skafu kama zawadi kwa Mhe. Waziri

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP