Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Monday, March 22, 2010

Zantel yaibuka na kitu cha "Chomoka na Vyombo"

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Tanga Kassim Kisauji, akizungumza wakati wa uzinduzi huo, katikati ni Meneja Mauzo wa Zantel Rweyemamu Protace na kushoto ni Meneja Mauzo wa Kampuni hiyo Mkoani Tanga Nassor Mbilikira, katika promosheni hiyo wateja wa Zantel wataweza kushindia vyombo vya nyumbani.


Meneja Mauzo wa Zantel Rweyemamu Protace akizungumza wakati wa uzinduzi wa promosheni ya chomoka na vyombo mwishoni mwa wiki mjini Tanga. Kushoto ni Meneja Mauzo wa Kampuni hiyo Mkoani Tanga Nassor Mbilikira, katika promosheni hiyo wateja wa Zantel wataweza kushindia vyombo vya nyumbani.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP