Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Tuesday, March 30, 2010

Zain yaanza Maadhimisho ya Upandaji Miti kitaifa


Mkurugenzi Mtendaji wa Zain Tanzania Khaled Muhtadi (kushoto) akipanda mti kuazimisha siku ya utunzaji wa mazingira jana jijini Dar es Salaam. Kampeni hiyo imeendeshwa na Shirika la linalojishugulisha na shuguli za utunzaji wa mazingira na mimea la WWF kwa kushirikiana na Zain Tanzania. Kulia ni Meneja Uhusiano wa Zain Tanzania Muganyizi Mutta.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP