Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Tuesday, March 30, 2010

Jina la Hotel lamchanganya RC


KATIKA hali ya ambayo haikuwa ya kawaida Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Brigedia
Mstaafu Dk. Yohane Balele mwishoni mwa wiki aligoma kwa muda kuifungua Hoteli ya kisasa ya Piracy kutokana na jina lake kumaanisha kitu ambacho kinakera.
Jina hilo kwa kiswahili maana yake uharamia. Utata huo ulichukua muda wa zaidi ya saa mbili na kumfanya Mkuu wa Wilaya ya Kahama Meja Mstaafu Bahati Matala kupata kazi kidogo kuwasiliana na mwenye hoteli ili jina libadilishwe.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP