Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Monday, March 29, 2010

Mwakilishi wa Unicef aaga Ikulu Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,DK Amani Abeid Karume,akibadilishana mawazo na Mwakilishi wa UNICEF nchini Tanzania, Heimo Laakkomen,aliyekuja kumuaga Rais,Ikulu Mjini Zanzibar,baada ya kumaliza muda wake wakazi Nchini.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,DK Amani Abeid Karume,akizungumza na Mwakilishi wa UNICEF nchini Tanzania, Heimo Laakkomen,aliyekuja kumuaga Rais,Ikulu Mjini Zanzibar,baada ya kumaliza muda wake wa kazi Nchini.



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,DK Amani Abeid Karume,akisalimiana na Mwakilishi wa UNICEF nchini Tanzania, Heimo Laakkomen,aliyekuja kumuaga Rais,Ikulu Mjini Zanzibar,baada ya kumaliza muda wake wakazi Nchini.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.Zanzibar

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP