Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Tuesday, March 30, 2010

Maige aanza upandaji miti Shinyanga


Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Ezekiel Maige mwenye suti nyeusi, akipanda mti katika Shule ya Sekondari ya Town iliyoko mjini Shinyanga,wakati wa sherehe za kuelekea Siku ya Taifa ya kupanda Miti nchini ambayo kitaifa inafanyika Aprili Mosi mkoani Shinyanga, aliyeshika. Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Misitu na Nyuki Dkt. Felician Kilahama na Kulia ni Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo Fabian Stanslaus.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP